Mlinda amani wa Kenya ashinda tuzo ya UN ya Mwaka 2020 ya mwanaharakati wa masuala ya jinsia
Mlinda amani kutoka nchini Kenya ambaye hivi karibuni amehitimisha jukumu lake mjini Darfur, Sudan amechaguliwa kupokea tuzo ya Umoja wa Mataifa ya mwanajeshi mwanaharakati wa masuala ya kijinsia kwa mwaka 2020.