Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

mashirika

MachafukoYemen yasababisha misaada kusitishwa: OCHA

Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya kibinadamu OCHA nchini Yemen, Jamie McGoldrick  ameomba kusitishwa kwa utoaji wa huduma za kibinadamu nchini humo baada ya mashambulizi ya hivi karibuni yaliyosababisha vifo vya watu 12 na kujeruhi wengi katika mji mkuu Sanaa.

Bwana McGoldrick amesema hali ya usalama kwa watoa huduma wa mashirika tofauti ni   hatarishi  kutokana na migogoro ya hivi karibuni.