Skip to main content

Chuja:

Maria Mamasita

UN News/Assumpta Massoi

Elimu ndio mkombozi wa msichana wa kimasai

Ukosefu wa usawa kati ya maeneo ya mijini na vijijini ni kikwazo kwa maendeleo ya jamii. Na tofauti hiyo inazidi zaidi pindi jamii hiyo ina wanawake ambao kwao mahitaji yao yanapuuzwa licha ya kwamba wana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii zao. Kutoka Arusha Tanzania, Assumpta Massoi amezungumza na Maria Mamasita mshiriki wa mkutano wa 62 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani, CSW62 ulioanza tarehe 12 mwezi huu wa Machi, mada kuu ikiangazia kumwendeleza mwanamke wa kijijini. Je wao wanafanya nini?

Sauti
2'8"
UN News/Assumpta Massoi

Elimu ni mkombozi kwa msichana wa kimasai- Mamasita

Mkutano wa 62 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani, CSW62 umeanza makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kubwa zaidi linaloangaziwa ni wanawake na wasichana wa vijiji. Wawakilishi wa mashirika ya kiraia wamefika na miongoni mwao ni Maria Mamasita kutoka Monduli mkoa wa Arusha nchini Tanzania.

Sauti
2'8"
Uwezeshaji wanawake na wasichana ndio muarobaini wa kufanikisha ajenda ya 2030. Pichanini Juba huko Sudan Kusini wanawake wakiwa kwenye maandamano.
UN /JC McIlwaine

Kubadili maisha yako yahitaji kubadili mtazamo wako- Terry

Mkutano wa 62 wa kamisheni ya hali ya wanawake, CSW62 uking'oa nanga hii leo, washiriki nao wanapaza sauti ni kipi wanafanya kubadili maisha ya wanawake wa vijijini. Leo tumezungumza na washiriki kutoka Monduli mkoani Arusha nchini Tanzania pamoja na kutoka kaunti ya Kwale huko Mombasa nchini  Kenya.