Miaka 80 ya UN, wanawake 4 tu wameongoza Baraza Kuu
Tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa miaka 80 iliyopita, ni wanawake wanne tu waliowahi kuhudumu kama Rais wa Baraza Kuu, ambako nchi zote wanachama 193 hujadili masuala muhimu yanayolikabili dunia.