Skip to main content

Chuja:

Mara

UNFPA/ Warren Bright

Ushiriki wa viongozi wa dini katika kupambana na ukeketaji Tarime Tanzania waanza kuonesha mwanga

Ukeketaji unajumuisha taratibu zote zinazohusisha uondoaji wa sehemu au jumla yote ya sehemu ya siri ya nje ya mwanamke. Zoezi hilo mara nyingi hufanywa na waganga wa jadi na wanaokeketa wanajulikana kama mangariba.  Ukeketaji unatambulika kimataifa kama ukiukaji wa haki za binadamu za wasichana na wanawake.

Umoja wa Mataifa umekuwa ukichagiza mbinu mbalimbali za kutokomeza vitendo hivi vya kikatili na nchi wanachama zimepokea wito huo na kutafuta namba tofautofauti za kupambana na hali hiyo ambayo imejikita katika utamaduni wa baadhi ya jamii ulimwenguni.

Sauti
3'15"
UNDP/Sawiche Wamunza

Mradi wa UNDP Mara, Tanzania umezaa matunda

Nchini Tanzania mradi wa mafunzo ya kilimo cha kisasa cha nyanya unaofadhiliwa na shirika la mpango wa maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, katika wilaya ya Bunda mkoani Mara umebadili maisha ya wakazi wa eneo hilo na hivyo kufanikisha lengo namba moja la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs, la kutokomeza umaskini. Taarifa zaidi na  Flora Nducha.
(Taarifa ya Flora Nducha)
Nats..
Wilaya ya Bunda mkoani Mara tupo katika shamba la kikundi cha wakulima cha Bulamba.

Sauti
2'46"