UNMISS yapongeza hukumu kwa waliotenda utakili nchini Sudan Kusini
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, UNMISS umekaribisha hatua zilizochukuliwa na serikali ya Sudan Kusini za kufuatilia na kutaka uwajibikaji kwa manusura wa ukatili wa kingono huko Yei, jimboni Equatoria ya kati.