Kupitia lengo namba moja la kutokomeza umasikini lililomo kwenye ajenda ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 2030, serikali zinahimizwa kutafuta mbinu mbadala kuwawezesha wananchi kupitia miradi mbalimbali ili kujikwamua na umasikini ifikikapo mwaka 2030.