Hatimaye UNRWA yapokea mafuta
“Kufuatia ucheleweshaji wa wiki kadhaa, Mamlaka za Israel ziimeidhinisha nusu tu ya kiwango cha chini cha mahitaji ya kila siku ya mafuta kwa ajili ya shughuli za kibinadamu huko Gaza.” Amesema Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina UNRWA Philippe Lazzarini