Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mahmoud Abbas

Bila viatu na kusukuma mali zao kwenye prams na mikokoteni, familia za Waarabu zinaondoka kwenye mji wa pwani wa Jaffa ambao ulikuja kuwa sehemu ya eneo kubwa la Tel Aviv katika jimbo la Israeli.
UN Photo

Umoja wa Mataifa waadhimisha miaka 75 ya Nakba ya Wapalestina

Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Utekelezaji wa Haki Zisizozuilika za Watu wa Palestina, kwa usaidizi wa Idara ya Haki za Wapalestina, hii leo imedhimisha kumbukumbu ya miaka 75 ya Nakba katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Umoja wa Mataifa, maadhimisho haya ya kumbukumbu yanafanyika kwa mujibu wa mamlaka iliyotolewa na Baraza Kuu.