WHO: Vifo vya kipindupindu vyaongezeka kwa mwaka wa pili mfululizo licha ya kinga na tiba kupatikana
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO hii leo limetoa takwimu mpya za kimataifa za ugonjwa wa kipindupindu kwa mwaka 2024, zikionesha ongezeko la wagonjwa na vifo.