Chuja:

Madini ya risasi

World Bank/Curt Carnemark

Madini ya risasi yazidi kuharibu ubongo wa watoto duniani- ripoti

Mtoto 1 kati ya 3 duniani kote ana kiwango cha juu cha madini ya risasi kwenye damu yake na idadi kubwa wako nchi za kusini mwa Asia, imesema ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF na mshirika wake Pure Earth. Flora Nducha na maelezo zaidi.

Huyo ni Nutsa, mtoto mwenye umri wa miaka 9 kutoka Georgia ambaye aligundulika kuwa na kiwango kikubwa cha madini ya risasi mwilini mwake na hata kukatazwa na madaktari kutochezea vikaragosi vya plastiki.

Sauti
2'2"