Sajili
Kabrasha la Sauti
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema linafahamu kuhusu ripoti za kuongezeka kwa machafuko na kuzorota kwa hali ya usalama kusini mwa jimbo la Chin na Rakhine nchini Myanmar na ni suala linalowatia hofu kubwa.