Taasisi ya Molteno imetwaa tuzo ya Confucius ya 2022 ya kujua kusoma na kuandika:UNESCO
Taasisi ya Molteno ya lugha, kusoma na kuandika kutoka nchini Afrika Kusini imetunukiwa tuzo ya kujua kusoma na kuandika ya mwaka 2022 ijulikanayo kama confucius ambayo hutolewa na shirika la elimu sayansi na utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO.