lishe duni

Mama kijana mjamzito mdogo akionekana kufanyiwa uchunguzi wa kina katika kituo cha afya katika jimbo la Kassala, Sudan.
© UNICEF/Mojtba Moawia Moawi

Utapiamlo umeongezeka kwa asilimia 25 kwenye nchi zenye migogoro na kuweweka wanawake na watoto hatarini: UNICEF

Wakati nusu ya watoto wote wa chini ya umri wa miaka 2 waliodumaa wakati wa ujaizito au wa chini ya umri wa miezi sita wako katika nchi zenye mizozo ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF iliyotolewa leo inasisitiza haja ya kuwekeza katika program za lishe kwa wasichana vigori na wanawake.

17 Mei 2022

Jaridani na Leah Mushi-

HABARI KWA UFUPI 

Idadi ya watoto walioathirika na uzito mdogo wa kupindukia imekuwa ikiongezeka hata kabla ya viya ya Ukraine ambayo inatishia kuitumbukiza dunia kwenye mgogoro mkubwa wa chakula imeonya ripoti mpya kuhusu watoto iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. 

==============================================================================================

Sauti
12'6"