Afisa wa Umoja wa Mataifa anayeongoza jitihada za kukabiliana na dhuluma za kimapenzi hii leo amekaraibisha hatua ya serikali ya Jamhufri ya kidemokrasi ya Congo ya kuwafungulia mashtaka maafisa wa ngazi za juu jeshini kwa kushutumiwa kuhusika kwenye vitendo vya ubakaji.