Twahitaji dola milioni 567 kufanikisha operesheni Ituri, Kivu Kaskazini na Kivu Kusini- WFP
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, linasema linahitaji dola milioni 567 kukidhi mahitaij ya wananchi kwenye majimbo matatu kwa miezi sita ijayo - Agosti 2023 hadi Januari 2024.