Skip to main content

Chuja:

kisukari

Eric Omondi, muuguzi wa Kituo cha Usimamizi na Taarifa za Kisukari anakagua eneo lenye uvimbe kwenye mkono wa Maingi.

Wagonjwa wengi wa Kisukari barani Afrika hata hawajitambui- WHO

Wakati dunia ikiadhimisha hii leo siku ya kisukari duniani kwa lengo la kuelimisha umma kuhusu ongezeko la mzigo wa ugonjwa huo na mikakati ya kuzuia na kudhibiti tishio lake, bara la Afrika linaonekana kuwa na changamoto kubwa ya ugonjwa huo, kwa mujibu wa takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO.   Flora Nducha na taarifa zaidi

Sauti
3'43"

14 NOVEMBA 2022

Hii leo katika Habari za UN mwenyeji wako akiwa Assumpta Massoi tunamulika ugonjwa wa kisukari barani Afrika, jawabu la nishati salama Malawi, vijana na wito wao huko Sharm el- sHeikh kwenye COP27 na ujumbe wa Balozi mwema wa IFAD Sabrina Dhowre Elba.

1. Wakati dunia ikiadhimisha hii leo siku ya kisukari duniani kwa lengo la kuelimisha umma kuhusu ongezeko la mzigo wa ugonjwa huo na mikakati ya kuzuia na kudhibiti tishio lake, bara la Afrika linaonekana kuwa na changamoto kubwa ya ugonjwa huo, kwa mujibu wa takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO. 

Sauti
13'4"
UNICEF/Toutounji

Serikali himizeni wananchi kufanya mazoezi : WHO

Katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2020 mpaka mwaka 2030 watu milioni 500 wanakadiriwa kuwa watakuwa wameugua magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo Kisukari, utipwatipwa na magonjwa ya moyo kutokana na kutofanya mazoezi ya mwili, imesema ripoti iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO.

Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi

Sauti
4'6"
Watoto wakimbizi kutoka Sudan Kusini wakicheza kuruka kamba katika makazi ya wakimbizi ya Palabek Ogili nchini Uganda
© UNICEF/Jimmy Adriko

Ukosefu wa mazoezi ya mwili kichocheo cha utipwatipwa: WHO

 

Katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2020 mpaka mwaka 2030 inakadiriwa watu milioni 500 watakuwa wameugua magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo Kisukari, utipwatipwa na magonjwa ya moyo kutokana na kutofanya mazoezi ya mwili, imesema ripoti iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO. 

Sauti
4'6"