Tuwe chonjo dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameonya kuwa chuki inaongezeka duniani akitaka kila mtu kuwa chonjo na chuki dhidi ya wayahudi na ubaguzi mwingine wowote ule.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameonya kuwa chuki inaongezeka duniani akitaka kila mtu kuwa chonjo na chuki dhidi ya wayahudi na ubaguzi mwingine wowote ule.