Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Kimbunga

UNHCR/Zinyange Auntony

Mwaka mmoja baadaye, kimbunga Idai bado ni jinamizi kwa manusura wake

Mwaka mmoja tangu kimbunga Idai kipige eneo la kati la Msumbiji idadi kubwa ya manusura ya janga hilo bado wameshindwa k urejea katika maisha ya kawaida kutokana na uhaba wa fedha za ukarabati. 

Kimbunga Idai kilipiga mji wa Beira katika jimbo la Sofala katikati mwa Msumbiji usiku wa Machi 14 na 15 ambapo kabla ya hapo kulishuhudiwa mvua kubwa na mafuriko katika nchi tatu ikiwemo Msumbiji, Zimbabwe na Malawi na kusababisha maelfu ya watu kufurushwa makwao na vifo na uharibifu wa mali.

Sauti
2'3"