Ufugaji samaki haujatuepusha tu na janga la tabianchi, bali umebadili maisha yetu: Christine Mbura
Janga la mabadiliko ya tabianchi katika eneo la Kibokoni, Kaunti ya Kilifi nchini Kenya lilipindua maisha ya mamia ya wavuzi ambao hakuna kazi nyingine waliyoifanya kwa miaka nenda miaka rudi isipokuwa uvuvi.