Hatuwezi kufikia SDG’s bila kuwajumuisha wahamiaji:Espinosa
Miezi mitatu baada ya kupitishwa kwa mkataba wa kimataifa kwa ajili ya uhamiaji salama, wa mpangilio na wa halali mjini Marrakesh Morocco, leo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linajadili utekelezaji wa mkataba huo.