Sajili
Kabrasha la Sauti
Tatizo la ukosefu wa nishati endelevu kwa ajili ya kupikia, limekuwa kikwazo kikubwa kwa jamii ya wakimbizi nchini Tanzania, ambako wanawake na wasichana wamekuwa wakikabiliwa na ubakaji pindi wanapoenda kuokota kuni.
Sikukuu ya krismasi imesherehekewa kwa aina yake katika kambi ya wakimbizi wa ndani mjini Juba nchini Sudan kusini kwa hali ya yakupendeza.