Ugumu wa maisha unaowakabili wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC, ni moja ya vichocheo vya wazazi kulazimika kuwaoza watoto wao.
“Watoto wadogo waliuawa mbele ya wazazi wao, wasichana na wanawake waliobakwa kwa pamoja waliteswa na kuuawa na familia zao na vijiji vyao kuchomwa moto.”
Tatizo la ukosefu wa nishati endelevu kwa ajili ya kupikia, limekuwa kikwazo kikubwa kwa jamii ya wakimbizi nchini Tanzania, ambako wanawake na wasichana wamekuwa wakikabiliwa na ubakaji pindi wanapoenda kuokota kuni.