Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Jose Graziano da Silva

©FAO/Amos Gumulira

Kupambana na aina zote za utapiamlo na kukuza ubunifu katika kilimo ndivyo vipaumbele vya juu vya FAO kwa miaka miwili ijayo.

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO José Graziano da Silva katika hotuba yake ya ufunguzi mkutano wa baraza tendaji la shirika huo ulioanza hii leo mjini Roma Italia, amesisitiza kuwa kwa miaka miwili ijayo FAO itajikita katika kukuza mifumo ya chakula cha lishe na uvumbuzi katika kilimo.

Sauti
1'48"
Dkt. Atar Adaha akiwa na mkimbizi kutoka Sudan aliye na mtoto wake mwenye utapiamlo. Ni katika kituo cha kuimarisha lishe cha Hospitali ya Maban kaunti ya Bunj Sudan Kusini.
Credit English (NAMS)

Kupambana na aina zote za utapiamlo na kukuza ubunifu katika kilimo ndivyo vipaumbele vya juu vya FAO kwa miaka miwili ijayo.

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO José Graziano da Silva katika hotuba yake ya ufunguzi mkutano wa baraza tendaji la shirika huo ulioanza hii leo mjini Roma Italia, amesisitiza kuwa kwa miaka miwili ijayo FAO itajikita katika kukuza mifumo ya chakula cha lishe na uvumbuzi katika kilimo.

Sauti
1'48"