Najivunia kuiacha FAO katika msingi wa jukumu lake baada ya miaka nane ya kuhudumu-Graziano da Silva
Kuzalisha chakula cha kutosha sio tatizo, tatizo ni fursa ya watu kupata chakula kilichopo ili kupambana na njaa na utapiamlo.
Kuzalisha chakula cha kutosha sio tatizo, tatizo ni fursa ya watu kupata chakula kilichopo ili kupambana na njaa na utapiamlo.
Kuzalisha chakula cha kutosha sio tatizo, tatizo ni fursa ya watu kupata chakula kilichopo ili kupambana na njaa na utapiamlo.
Kaya zinazojihusisha na kilimo zinahitaji sera wezeshi za umma ili ziweze kuendana na kustawi katika mazingira ya sasa yanayobadilika kila uchao, amesema Mkurugenzi Mkuu wa shirika la chakula na kilimo duniani, FAO José Graziano da Silva.
Shirika la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa nchi zote kuungana na kutenga fedha zaidi kukabiliana na ajira ya watoto katika sekta ya chukula na katika kilimo cha kujikimu ambapo kiwango kikubwa cha ajira za watoto hushuhudiwa.
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la chakula na kilimo duniani, FAO José Graziano da Silva amekaribisha hatua ya aina yake ya mataifa zaidi ya 100 kuridhia mkataba wa kimataifa wa kuzuia uvuvi haram una usiofuata kanuni, akisema ni hatua ya kipekee.
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la chakula na kilimo duniani, FAO José Graziano Da Silva aliyeko ziarani nchini Senegal, amesema harakati zote za kusaka amani ya kudumu kwenye eneo la Sahel lazima ziende sambamba na uwekezaji mkubwa katika maendeleo vijiijni na kilimo.
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO José Graziano da Silva katika hotuba yake ya ufunguzi mkutano wa baraza tendaji la shirika huo ulioanza hii leo mjini Roma Italia, amesisitiza kuwa kwa miaka miwili ijayo FAO itajikita katika kukuza mifumo ya chakula cha lishe na uvumbuzi katika kilimo.
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO José Graziano da Silva katika hotuba yake ya ufunguzi mkutano wa baraza tendaji la shirika huo ulioanza hii leo mjini Roma Italia, amesisitiza kuwa kwa miaka miwili ijayo FAO itajikita katika kukuza mifumo ya chakula cha lishe na uvumbuzi katika kilimo.
Mkurugenzi Mkuu wa shrika la chakula na kilimo duniani, FAO José Graziano da Silva ametaka kuwepo kwa mbinu bunifu zaidi ili kuweza kukabiliana na tatizo la uhaba wa maji kwa nchi za kaskazini mwa Afrika na Mashariki ya Karibu, NENA.
Idadi ya watu waliokabiliwa na uhaba wa chakula mwaka 2018 ilipungua hadi kufikia milioni 113 ikilinganishwa na watu milioni 124 mwaka uliotangulia wa 2017.