Ushiriki wa vijana katika utunzaji wa mazingira nchini Uganda
John Kibego hii leo anaangazia ushiriki wa vijana katika uhifadhi wa mazingira nchini Uganda wakati huu wengi wao wakiwa majumbani baada ya tassisi za elimu kufungwa karibu mwezi moja sasa, ikiwa ni moja ya njia za kudhibiti kudhibiti mlipuko mpya wa COVID-19.