Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya makumi ya raia wakiwemo Watoto na vijana yaliyofanya leo na vikosi vya ulinzi nchini Myanmar.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ameelaani vikali kushikiliwa kwa viongozi wa kisiasa na maafisa wa serikali ikiwemo kiongozi mkuu wa Myanmar Aung San Suu Kyi na rais Win Myint na jeshi la nchi hiyo.
Tume huru ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa nchini Myanmar imeitaka jumuiya ya kimataifa kukata uhusiano na jeshi la Myanmar na mtandao mkubwa wa makampuni linayoyathibiti na kuyategemea na kuliwekea vikwazio vikiemo vya silaha.
Tume huru ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa nchini Myanmar imeitaka jumuiya ya kimataifa kukata uhusiano na jeshi la Myanmar na mtandao mkubwa wa makampuni linayoyathibiti na kuyategemea na kuliwekea vikwazio vikiemo vya silaha.