Amani ya Darfur iko mikononi mwa watu wa Darfur na serikali yao:Ngondi
Maendeleo na amani ya kudumu katika eneo lililoghubikwa na mizozo la Darfur nchini Sudan vitaletwa na raia wenyewe wa Darfur pamoja na serikali ya nchi hiyo.
Maendeleo na amani ya kudumu katika eneo lililoghubikwa na mizozo la Darfur nchini Sudan vitaletwa na raia wenyewe wa Darfur pamoja na serikali ya nchi hiyo.