Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo Jumanne limekutana jijini New York, Marekani kujadili hali ya Sudan na Sudan Kusini hususan eneo gombaniwa la Abyei.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo Jumatano limekutana kujadili kuhusu kufungwa kwa ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya usaidizi wa haki nchini Haiti MINUJUSTH, hapo mwezi Oktoba mwaka huu.