Mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani kwenye Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix amesema mahandaki yaliyochimbwa kuanzia Lebanon hadi Israel ni suala la wasiwasi mkubwa na ni ukiukaji wa azimio namba 1701 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa nchi wanachama kushikamana na kusaidia vita dhidi ya mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeida na ISIL kwenye ukanda wa sahel barani Afrika.
Mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani kwenye Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix amekamilisha awamu ya kwanza ya ziara yake katika eneo la Mashariki ya Kati.