Shida tunazo lakini tunahaha kulinda mitaa yetu- Vijana
Jayathma Wickramanayake kutoka Sri Lanka amesema sasa vijana siyo tena kundi la ziada kwenye masuala ya amani na usalama, bali ni kundi muhimu zaidi katika kufanikisha ajenda hiyo.
Jayathma Wickramanayake kutoka Sri Lanka amesema sasa vijana siyo tena kundi la ziada kwenye masuala ya amani na usalama, bali ni kundi muhimu zaidi katika kufanikisha ajenda hiyo.