Skip to main content

Chuja:

jamii za asili

UNESCO

Watoto wa jamii za kiasili na wale wa jamii za wachache wafundishwe kwa lugha yao wenyewe - mtaalam wa UN

Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya makabila madogo, kupitia ripoti yake aliyoiwasilisha hii leo mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi amesema ni lazima watoto wanaotoka  jamii za wachache, wafundishwe kwa lugha yao inapowezekana ili kufikia lengo la ujumuishwaji na elimu bora pamoja na kuheshimu haki za binadamu za watoto wote.

Sauti
2'3"