Mamlaka za afya za Iraq, kwa kushirikiana na mashirika ya Umoja wa Mataifa, la afya,WHO na lile la kuhudumia watoto UNICEF, jana jumapili wameanza kampeni kubwa ya kuwapatia chanjo watoto wa Iraq, ikiwalenga zaidi ya watoto milioni 1.9 chini ya umri wa miaka mitano.