Kamishna wa Haki za Binadamu UN atoa wito kufuatia Marekani kuwawekea vikwazo Majaji wa ICC
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ameonesha kusikitishwa na uamuzi wa Marekani kuwawekea vikwazo majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).