Ibrahim Thiaw wa Mauritania ateuliwa kuongoza vita dhidi ya hali ya jangwa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, leo amemteua Ibrahim Thiaw kutoka Mauritania kuwa Katibu Mkuu mtendaji mpya wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa kupambana na hali ya jangwa (UNCCD).