Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa saratani, IARC na wadau wake wamezindua toleo la tatu la atlasi au kitabu cha ramani kinachoonesha hali ya saratani duniani.
Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa saratani, IARC na wadau wake wamezindua toleo la tatu la atlasi au kitabu cha ramani kinachoonesha hali ya saratani duniani.
Nchi zenye kipato cha juu zina wagonjwa wengi wa zaidi wa saratani kuliko nchi za uchumi mdogo na wa kati kutokana na mazingira na mitindo ya maisha vinavyoendana na maendeleo ya uchumi na jamii.
Zaidi ya wagonjwa wapya milioni 18 wa saratani wameripotiwa mwaka huu wa 2018 huku watu wengine zaidi ya milioni 9.5 wakiripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika kipindi hicho.
Utafiti mpya umebaini kuwa watu ambao kwao unene au utipwatipwa ni asili au jambo la kurithi kwenye familia zao wako hatarini zaidi kuwa wavutaji sigara, na wanaweza kuvuta sigara kwa kiwango kikubwa zaidi. Grace Kaneiya na ripoti kamili.
Ripoti mpya kutoka katika kituo cha kimafaida cha utafiti wa ugonjwa wa saratani duniani,IARC inasema ugonjwa huo imezigharimu nchi zenye uchumi wa kati ,kiasi cha dola za kimarekani bilioni 46 tangu mwaka 2012.