Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

IAEA

© IAEA

Mashambulizi ya Israeli dhidi ya Iran, yalaaniwa vikali na UN..

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akionya juu ya hatari ya kuongezeka kwa mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati huku mkuu wa wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA), Rafael Mariano Grossi amesema wanafanya tathimini athari za mashambulizi hayo katika vinu vya nyuklia Iran. Sharon Jebichi na taarifa kamili
Sauti
2'12"

12 JANUARI 2023

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tunakwenda nchini Kenya kumulika harakati za elimu ikiwa ni kuelekea siku ya elimu duniani. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo kutoka IAEA, msaada wa kibinadamu nchini DRC na matokeo ya mkutano wa Baraza la Usalama wa Umoja wa Mataifa. Mashinani tunakwenda nchini Uganda. Katika kujifunza kiswahili tunapata ufafanuzi wa msemo "FUNGA FUNGANYA

Sauti
12'2"

04 OKTOBA 2021

Katika Jarida la Habari hii leo  kutoka Umoja wa Mataifa Assumpta Massoi anakuletea

-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa antonio Guterres akifungua mkutano wa 15 wa kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendfeleo na biashara UNCTAD15 mjini Bridgetown Barbados ametoa wito wa kuhakikisha usawa wa biashara, uwekezaji na na kujikwamua vyema na COVID-19

-Ripoti ya kamati huru ya uchunguzi wa haki za binadamu nchini Libya imesema kuna ushahidi kuwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaoweza kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu ulitekelewa nchini humo tangu 2016

Sauti
15'10"
Melissa Fleming (kushoto) alipokuwa msemaji na mkuu wa mawasiliano wa UNHCR, akimuhoji Fabrizio Hochschild, msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya mikakati na uratibu.
UNHCR/Susan Hopper

Melisa Fleming ndio mkuu mpya wa idara ya mawasiliano ya kimataifa UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo amemteua Melissa Fleming raia wa Marekani kuwa ndio mkuu mpya wa idara ya mawasiliano ya kimataifa ya Umoja wa Mataifa au DGC. Bi. Fleming anachukua wadhifa huo wa msaidizi wa Katibu mkuu akimrithi Alison Smale raia wa Uingereza ambaye Katibu Mkuu amemshukuru kwa uwajibikaji wake na huduma kwenye shirika la Umoja wa Mataifa.