Chuja:

Homa ya uti wa Mgongo

UN

WHO na wadau wataka hatua zaidi kukabili homa ya uti wa mgongo

WHO na wadau wataka hatua zaidi kukabili homa ya uti wa mgongo
Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO na wadau wake wamezindua mkakati wa kwanza wa aina yake wa kutokomeza ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo, ugonjwa ambao unaua mamia ya maelfu ya watu kila mwaka. Mkakati huo, kwa mujibu wa WHO utaokoa maisha ya zaidi ya watu 200,000 kila mwaka.

Sauti
2'17"