Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Hiroshima

6 Agosti 2021

Jaridani Agosti 6, 2021 na Assumpta Massoi,

Jarida linaanza na habari muhimu za siku, kisha mada kwa kina kutoka Uganda ambapo utasikia simulizi ya mwanamke aliyepata COVID-19 na kupona, alipata matunzo ya wiki mbili akidhani anaumwa malaria, kulikoni?

Sauti
11'52"
Majeruhi baada ya kukimbia moto uliotokana na bomu la atomiki lililoangushwa saa 2.15 asubuhi, walikusanyika kwenye kingo ya barabara magharibi mwa Miyuki-bashi mjini Hiroshima saa tano asubuhi ya tarehe hiyo hiyo ya shambulio 6 Agosti 1945.
UN /Yoshito Matsushige

“Hibakusha” ni ishara ya kile UN inasimamia kutokomeza nyuklia- Guterres

Miaka 76 imetimu hii leo tangu Marekani iangushe bomu la nyuklia katika mji wa Hiroshima nchini Japan na kuua makumi ya maelfu ya watu papo hapo, bado hatua za kutokomeza silaha za nyuklia zinasuasua, hivyo serikali chukueni hatua kufanikisha lengo hilo. Takwimu zinaonesha kuwa watu wengine makumi ya maelfu walifariki dunia baadaye na wengine wengi miaka iliyofuatia.

 

06 Agosti 2020

Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Assumpta Massoi 
- Shirika la  mpango wa chakula duniani   WFP wajitosa kuisaidia Lebanon kwani bila bandari ya Beirut, hali itakuwa mbaya zaidi Lebanon
 - Ikiwa leo ni miaka 75 tangu tukio bomu  la Hiroshima nchini Japan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema njia pekee ya kuondokana na tishio la nyuklia ni kutokomeza silaha za nyuklia.
- Wanawake wafungwa katika gereza la Bimbo wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, Bangui watanufaika na mradi wa ujumui
Sauti
11'46"