Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

hewa ukaa

UNEP/Lisa Murray

Makao Makuu ya UM: Jukwaa la 18 la Umoja wa Mataifa la misitu limeng’oa nanga leo

Jukwaa la 18 la Umoja wa Mataifa la misitu limeanza leo kwenye makao Makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani likiwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, mfumo wa Umoja wa Mataifa, mashirika ya kimataifa na kikanda na wadau wa misitu ili kujadili thamani ya rasilimali hiyo muhimu kwa binadamu na mazingira

Kwa mujibu wa shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO misitu ni chanzo kikubwa cha nishati, chakula na malisho, na hutoa riziki kwa mamilioni ya watu, ikiwa ni pamoja na wengi ambao ni maskini zaidi duniani.

Sauti
2'32"
Hali ya utulivu ikirejea baada ya mvua kubwa kwenye msitu wa New York
UN Photo/Mark Garten

Jukwaa la 18 la Umoja wa Mataifa la misitu limeng’oa nanga leo makao makuu ya UN

Jukwaa la 18 la Umoja wa Mataifa la misitu limeanza leo kwenye makao Makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani likiwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, mfumo wa Umoja wa Mataifa, mashirika ya kimataifa na kikanda na wadau wa misitu ili kujadili thamani ya rasilimali hiyo muhimu kwa binadamu na mazingira.

Sauti
2'32"

17 Desemba 2021

Karibu kusikiliza jarida, kama ilivyoada ijumaa tunakuleta mada kwa kina na hii leo ni kutoka katika taifa changa zaidi Afrika, Sudan Kusini huko tutasikia namna msanii wa uchoraji anavyoinua jamii yake hususan wanawake. 

pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa ufupi na kujifunza kiswahili 

Sauti
11'50"