Ripoti ya UNEP: Kasi ya kupunguza uzalishaji wa methane bado ndogo licha ya kuongezeka kwa hatua za udhibiti
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP), serikali na sekta binafsi duniani zimeonesha mwitikio mkubwa zaidi katika juhudi za kupunguza uzalishaji wa gesi ya methane.