Nilimwambia mume wangu, tangulia na wa kiume, mimi nakuja na wa kike, tukikamatwa basi-Mkimbizi wa Ethiopia
Mzozo wa Ethiopia ukiendelea, familia moja iliyotenganishwa walipokimbia eneo la Tigray la Ethiopia ina bahati ya kuungana tena nchini Sudan, lakini wasiwasi juu ya maisha yao ya baadaye ni mzito.