Watoto 12 wauawa Syria katika wiki mbili zilizopita
Takribani watoto 12 wameuawa kaskazini-magharibi mwa Syria tangu tarehe 20 mwezi uliopita wakati huu ambapo ghasia zinazidi kwenye ukanda ambao haupaswi kuwa na mapigano.
Takribani watoto 12 wameuawa kaskazini-magharibi mwa Syria tangu tarehe 20 mwezi uliopita wakati huu ambapo ghasia zinazidi kwenye ukanda ambao haupaswi kuwa na mapigano.