Tuwezesheni kuwafikia wahitaji Hajjah yemen:WFP
Wakati mzozo wa Yemen ukiingia mwaka wa tano, maeneo ambako kuna mahitaji zaidi hayafikiki kwa ajili ya kuwasilisha msaada limesema Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP.
Wakati mzozo wa Yemen ukiingia mwaka wa tano, maeneo ambako kuna mahitaji zaidi hayafikiki kwa ajili ya kuwasilisha msaada limesema Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP.