Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

GSSD

Tamasha la Kusini-Kusini 2017 lakunja jamvi Uturuki

Tamasha la kimataifa la ushirika wa Kusini-Kusini mwaka 2017 leo limekunja jamvi mjini Antalya Uturuki huku umoja wa Mataifa na wadau wakifurahia matokeo .

Kwa mujibu wa mkurugenzi wa ofisi ya Umoja wa mataifa ya ushirika wa Kusini-kusini Jorge Chediek, lengo la tamasha hilo ambalo huandaliwa kila mwaka ni kutoa fursa kwa nchi za Kusini -Kusini , taasisi mbalimbali na mataifa mengine yakiwepo ya Kaskazini kujumuika pamoja na kuanzisha ushirika mpya ili kufaidika na ushirika wa Kusini-kusini na kwa mwaka huu amesema lengo limetia na kuongeza kuwa