COP26 inafunga kwa makubaliano ya ‘maelewano’ lakini haitoshi, asema Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Baada ya kongeza siku moja ya mazungumzo ya mabadiliko ya tabianchi ya COP26, karibu nchi 200 huko Glasgow, Scotland, zimepitisha hati ya matokeo hii leo hati ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema inaangazia masilahi ya pamoja, kinzani, na hali ya dhamira ya kisiasa ulimwenguni leo.