Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Gerson Msigwa

Mtazamo wa maeneo ya forodhani visiwani Zanzibar.
UN News/Assumpta Massoi

Filamu ya Royal Tour Tanzania ni mkombozi wa sekta ya utalii 

Hatimaye filamu ya Tanzania The Royal tour iliyotengenezwa kuonesha vivutio vya utalii katika taifa hilo la Afrika Mashariki imezinduliwa nchini Marekani huku Msemaji Mkuu serikali ya Tanzania akisema filamu hiyo itakuwa mkombozi wakati huu ambapo mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania zinahaha kujikwamua kiuchumi baada ya janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19. 

22 Aprili 2022

Hii leo Jaridani mwenyeji wako ni Grace Kaneiya akikuletea jarida limesheheni mada kwa kina, Habari kwa Ufupi na kujifunza kiswahili.

Mada kwa kina ni uzinduzi wa filamu ya Royal  Tour Tanzania uliofanyika hapa Marekani na tunamulika mchango wake katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDG na mchambuzi ni Gerson Msigwa, Msemaji wa serikali ya Tanzania. 

Sauti
12'47"