Umoja wa Mataifa umetoa wito wa nchi wanachama kushikamana na kusaidia vita dhidi ya mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeida na ISIL kwenye ukanda wa sahel barani Afrika.
Ukanda wa Sahel unakabiliwa na mashambulizi na shida za mara kwa mara ambapo nchi tano kwenye ukanda huo zimeunda kikosi cha kukabili mashambulizi kiitwacho, G5.
Ukanda wa Sahel unakabiliwa na mashambulizi na shida za mara kwa mara ambapo nchi tano kwenye ukanda huo zimeunda kikosi cha kukabili mashambulizi kiitwacho, G5.