Heko Nyusi na Momade kwa makubaliano ya amani Msumbiji- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha hatua iliyofikiwa nchini Msumbiji ya kutiwa saini kwa makubaliano ya amani na maridhiano kati ya chama tawala FRELIMO na kile cha upinzani, RENAMO.