Skip to main content

Chuja:

Fran Equiza

Kijiji cha Liton, katika mkoa wa Begoua, kaskazini mwa Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambapo wanaume, wanawake na watoto 2,000 wamekimbia vijiji vyao tangu mapigano ya Januari 2021 huko na karibu na PK12.
MINUSCA/Hervé Serefio

Kuna ongezeko la hatari dhidi ya watoto CAR - UNICEF 

Mwakilishi wa shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, NCHINI Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, Fran Equiza, hii leo akizungumza na wanahabari mjini Geneva Uswisi amesema, "watoto 370,000 kwa sasa ni wakimbizi wa ndani nchini kote kwa sababu ya vurugu zinazoendelea na ukosefu wa usalama. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha watoto kufurushwa katika makazi yao tangu 2014."