Ni lazima vijana washirikishwe majadiliano ya SDGs-Rita
Vijana wana mchango mkubwa katika kufanikisha malengo ya maendeleo endevu yaani SDGs kwa sababu ya msukumo na ubunifu wao’ hiyo ni kauli ya Rita Kimani, kijana kutoka Kenya ambaye ni mwanzilishi mwenza wa kampuni ya FarmDrive nchini humo inayosaidia kuunganisha wakulima wadogo wadogo na fursa za mikopo bila kuhitaji dhamana.