Skip to main content

Chuja:

FDI

Shehena kwenye bandari ya Mombasa, Kenya
© UNDP/Tamara Tschentscher

Uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje umerejea katika hali ya kabla ya COVID-19: UNCTAD 

Mpangilio wa uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje FDI umejikwamua na kurejea katika hali ya kabla ya janga la COVID-19  mwaka jana na kufikia kiwango cha dola trilioni 1.6 lakini matarajio kwa mwaka huu ni mabaya kwa mujibu wa ripoti mpya ya uwekezaji duniani iliyotolewa leo na kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo ya uchumi na biashara UNCTAD. 

Uwekezaji mkubwa kama huu wa bwawa katika Mto Nura nchini Kazakhstan mara nyingi unahitaji uwekezaji wa moja kwa moja wa nje.
World Bank/Shynar Jetpissova

COVID-19 imeangusha kwa asilimia 49 aina zote za uwekezaji wa nje wa nchi zilizoendelea.

Mtiririko wa uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni kimataifa, FDI, umepungua kwa asilimia 49 katika nusu ya kwanza ya 2020 ikilinganishwa na mwaka 2019, kwa sababu ya kuanguka kwa uchumi kutokana na COVID-19, umebaini utafiti wa hivi karibuni wa  Monitor mwelekeo wa uwekezaji uliofanywa na shirika la Umoja wa Mataifa la biashara na maendeleo UNCTAD na kutolewa leo tarehe 27 Oktoba 2020. 

Picha ya UM

Uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja umeshuka kote duniani 2017

Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya  kamati ya maendeleo na biashara ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi.

Ripoti hiyo“Uwekezaji na sera mpya za viwanda “, imetathimini hali ya uwekezaji duniani katika  kipindi cha kati ya  2016 na 2017. Katibu Mkuu wa UNCTAD, Mukhisa Kituyi, amesemaushukaji wa FDI na pia kudorora kwa makampuni tanzu duniani vinaleta wasiwasi hususan katika nchi zinazochipukia kiuchumi

Sauti
2'31"